image

Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Chanzo

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya kwanza

.

NINI CHANZO CHA TATIZO LA KOMPYUTA AU SIMU YAKO?
Ni muda wingi tumekuwa tukisumbuliwa na kompyuta zetu kwa kuwa na matatizo mbalimbali ambayo maranyingi huwa yanatugharimu pesa ndefu kuyatatuwa.leo tatizo dogo tu la kompyuta litakugharimu pesa ndefu wakati ungeweza kulitatuwa mwenyewe ukiwa nyumbani.

Katika makala hii tutaangalia vyano vya haya matatizo katika kompyuta zetu hili litasaidia kuweza kujiepusha na matatizo haya. pia tutakuwa tukiangfalia namna ya kuweza kukabiliana na matatizo haya. kwa kawaida kompyuta zinakumbwa na matatizo mengi tuu lakini katika makala hii tutaona tuu yale matatizo yaliyozoeleka. kwa fano wa matatizo hayo ni kama haya;-
1. KOMPYUTA AU SIMU KUWA SLOW
2. KOMPYUTA AU SIMU KUSTAK
3.KOTOWEZA KUFUNGUWA BAADHI YA MAFAILI
4.KUTOWEZA KUCHEZA BAADHI YA GEMU
5.KOTOKUTOWA RANGI NZURI
6.KUSHINDWA KUUNGANISHA WIRELESS NETWORK {WI-FI}
7.KUTOWEZA KUSOMA USB
8.KUTOWEZA KUKONECT NA BLUETOOTH
9.DATA KUPOTEA AU KULIWA
10.KUZIMZAZIMA YENYEWE.

Yapo mengine meengi ambayo pia tutayaona tunapokuwa tunaangalia tatizo moja baada ya jingine.mengi katika mmatatizo haya huwa yanashirikiana sababu za kutokea kwake japokuwa zinatofautiana kwa kiwangogani tatizo limefikia . sasa hebu tuone tatizo moja badala ya lingine na tuine vipi tutaweza kulitatuwa mwenyewe ukiwa nyumbani bila ya kukupotezea pesa za kwenda kwa fundi;-

1.KOMPYUTA AU SIMU KUWA SLOW
tatizo hili linaonekana pale kompyuta yako ina[pokuwa slow yaani inafanya kazi kwa utaratiibu sana yaani haina kasi. Tatizo hili hutokea kwa mfano pale unapoiwasha inatumia muda mwingi sana kuwaka, au unapoizima inatumia muda mwingi katika kuzima. Ila mbaya zaidi ni pale unapoikomand kufanya kitu kisha inakuwa ipo slow. unaweza ukafunguwa program lakini unasubiri uda mwingi kuingoja kompyuta imalize kuload. mfano mzuli ni pale unapofunguwa microsoft office kisha inaload kwa muda wa dakika ndo ifunguwe faili. Tatizo hili linapoteza muda mwingi kwa mtumiaji wa kompyuta hasa pale anapotaka kufanya kazi zake kwa uharaka zaidi.Ssa hebu tuone chanzo cha tatizo hili

CHANZO CHA TATIZO HILI
tatizo hili limenukuliwa na wataalamu mbalimbali na wakaonesha baadhi ya vyanzo vya tatizo hili. Kwa mfano Natasha Stokes mnamo June 03, 2016 katika tovuti yao http://www.techlicious.com/tip/reasons-why-your-computer-is-slow/ wametowa sababu 13 za tatizo hili kama nitakavyo vitaja hapo chini;-

1. VIRUSI
Hapa tunajumuisha virusi, malware, spyware na trojan hizi zote ni software ambazo zimetengenezwa zikiwa na madhara kwa kompyuta yako. Kwakuwa zinalazimisha kukupatia advertizeent, au zinajaribu kuhack compyuta yako au kuathiri mafaili ndani ya kompyuta yako. Haya yote yanasababisha kompyuta kuwa bize hivyo kushindwa kufanya kazi zake kwa uzuli. VIRUS, TROJAN, MALWARE na SPYWARE vyote hivi tummezoea kuviita VIRUSI ila ni kuwa japo kazi zao ni moja kuathiri kompyuta yako lakini vipo tofauti. katika makala zijazo tutakuj kuona utofauti wao MUNGU akitaka.

jinsi ya kulitatuwa njia pekee na ya uhakika ni kuwa na antvirusi iliyoactive na iliyo update. kama huna zipo za free kwa mfano avast au microsoft esential security au window defenda. Tokeo la picha la window defender

vitu vya kuzingatia;-
1. hakikisha unaskan kompyuta yote full scanning
2. hakikisha antvirus yako ipo update
3. ristat kompyuta yako baaya ya kuskan
ITAENDELEA.........



         › WhatsApp ‹ Whatsapp





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 678


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zifazofanana:-

yanayoathiri betri ya kifaa chako
makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako Soma Zaidi...

Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta
Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta Soma Zaidi...

Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao Soma Zaidi...

MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO
Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap? Soma Zaidi...

Utafanyaje ili blog yako ionekane Google, Big, Yandex ama yahoo?
Post hii inakwenda kukufundisha kwa ufupi jinsi ya kuifanya blog yako, ama post za kwenye blog yako ziweze kupatikana kwenye search Engine kama Google, Bong, yandex na yahoo. Soma Zaidi...

Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook
Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook Soma Zaidi...

KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO
Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano. Soma Zaidi...

Jinsi ya kutuma sms ndefu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kutuma sms ndefu Soma Zaidi...

TEKNOLOJIA, HABARI NA MAWASILIANO
Soma Zaidi...

SIRI
Hii ni game ya maandishi bila ya kutumia vioneshi (graphics). Soma Zaidi...

Nini Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...