image

Buibui hupuruka ijapokuwa hana mbawa.

Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.

Buibui ni katika wadudu wenye maajabu sana.  Hivi unajuwa kama hizi wa buibui ni imara kuliko chuma? 

 

Tuachane na hilo,  kuna hili , hivibumeshawahi kukumba uzi wa buibui ukiwa unatembea halafu usijuwe uzi huo umetoka wapi,  hakuna miti wala majani marefu. 

 

Tafiti zinaonyesha kuwa mdudu Buibui anaweza kupuruka ijapokuwa hana mabawa. Buibui wanaweza kueleza angani. 

 

Wataalamu wanaeleza kiwa Buibui hutumia Umeme wa dunia ambao upo angani ili kuweza kuruka hewani. 

 

Ipo hivi kama unavyoona radi ni umeme ule. Sasa huku ardhini kunakuwa na chaji hasi na angani kunakuwa na chaji chanya.  Kawaida umeme ni sawa na sumaku huvutana. 

 

Sasa buibui akiwa ardhini uzi wake unakuwa na chaji hasi. Pale anapotaka kuoiruka kuangalia kama anganibkuna umeme wa kutosha. Anapojiridhisha kutoa uzi wake ule wenye chaji hasi na huvutwa angani ambapo kina chaji chanya. 

 

Hivyo huweza kuruka angani na kuelea na kwenda anapotaka.  Bado wanasayansi hawajaelewa zaidi kuhusu undani wa jambo hili. Hivyo basivtafiti zaidi zinahitajika. 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 691


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

MAAJABU NA UWEZO WA CHEETAH
5. Soma Zaidi...

BONGOCLASS STAFF MEMBERS
RAJABU ATHUMAN BA. Soma Zaidi...

Bongoclass
Bongoclass ni darasa la kushiriika akili na maarifa kutoka kwa watu mbalimbali katika kutumia fursa zilizopo ili kuzalisha kipato na kuleta maendeleo katika jami Soma Zaidi...

Vitabu
VITABU: Karibu kwenye Maktaba yetu ya vitabu, hapa utaweza kusoma na kudownload vitabu vyetu bure. Soma Zaidi...

Subscribe
Ingiza taarifa zako hapo chini uweze kupata Update zetu. Soma Zaidi...

Home
Soma Zaidi...

SAMAKI AINA YA SALMON
2. Soma Zaidi...

MAKTABA YA VIBABU KUTOKA BONGOCLASS
Soma Zaidi...

Njia za kuwasiliana na Bongoclass
wasiliana nasi muda wowote kupitia mitandao yetu Soma Zaidi...

Bongoclass
Bongoclass ni darasa la kushiriika akili na maarifa kutoka kwa watu mbalimbali katika kutumia fursa zilizopo ili kuzalisha kipato na kuleta maendeleo katika jami Soma Zaidi...

WIKIBONGO NI NINI?.
Bila shaka umekuwa ukijiuliza sana kuhusu wiki bongo hasa ni kitu gani. Hapa upo mahala sahihi. nitakwenda kukueleza hasa ni nini maana ya hili neno "wikibongo". Soma Zaidi...

MAAJABU NA UWEZO WA CHEETAH
5. Soma Zaidi...