Buibui hupuruka ijapokuwa hana mbawa.
Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.
Buibui ni katika wadudu wenye maajabu sana. Hivi unajuwa kama hizi wa buibui ni imara kuliko chuma?
Tuachane na hilo, kuna hili , hivibumeshawahi kukumba uzi wa buibui ukiwa unatembea halafu usijuwe uzi huo umetoka wapi, hakuna miti wala majani marefu.
Tafiti zinaonyesha kuwa mdudu Buibui anaweza kupuruka ijapokuwa hana mabawa. Buibui wanaweza kueleza angani.
Wataalamu wanaeleza kiwa Buibui hutumia Umeme wa dunia ambao upo angani ili kuweza kuruka hewani.
Ipo hivi kama unavyoona radi ni umeme ule. Sasa huku ardhini kunakuwa na chaji hasi na angani kunakuwa na chaji chanya. Kawaida umeme ni sawa na sumaku huvutana.
Sasa buibui akiwa ardhini uzi wake unakuwa na chaji hasi. Pale anapotaka kuoiruka kuangalia kama anganibkuna umeme wa kutosha. Anapojiridhisha kutoa uzi wake ule wenye chaji hasi na huvutwa angani ambapo kina chaji chanya.
Hivyo huweza kuruka angani na kuelea na kwenda anapotaka. Bado wanasayansi hawajaelewa zaidi kuhusu undani wa jambo hili. Hivyo basivtafiti zaidi zinahitajika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Simulizi za Hadithi Audio ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Dua za Mitume na Manabii ๐4 web hosting ๐5 ai web app ๐6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
More
Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.
Soma Zaidi...Fast
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...Kukosa subira na uvumilivu: Jinsi ya kubadilisha tabia.
Katika ulimwengu wa sasa wa "hapo hapo" (instant gratification)โambapo chakula kinapatikana haraka na ujumbe unafika kwa sekunde mojaโkujenga subira imekuwa changamoto kubwa. Makala haya yanakuletea mbinu za kisaikolojia za kukusaidia kutambua vyanzo vya ukosefu wa subira na hatua za vitendo za kubadilisha tabia hiyo ili uweze kuishi kwa amani na kufikia malengo makubwa.
Soma Zaidi...Promo
Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa.
Soma Zaidi...