RAJABU ATHUMAN BA.
RAJABU ATHUMAN
BA.ED UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, ni mwalimu na pia ni muelimishaji
katika maswala ya afya na ushauri. tofauti ya kuwa mwalimu pia ana taaluma za
IT kama kutengeneza website, software na graphic design.
›Soma zaidi
SADAMU ABAS
BSWS UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1993, mkoani Pwani-Tanzania, ni mtaalamu katika IT, amesomma Bachelor of science with computer science.
Pia ni system developer, na mtaalamu wa kudisain graphics. Ni mtoaji wa ushauri
kuhusu teknolojia
›Soma zaidi
HASSANI ISA
NURSE FROM KIWOVAC NURSING TRAINING CENTRE
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, anataaluma ya Nursing na pia ni mtaalamu
katika kutunga na kughani mashairi. Ana mkanda mweusi wa gujuriew na ni mrukaji wa sarakasi. Ni mtoaji
ushauri katika afya na maradhi.
›Soma zaidi
Umeionaje Makala hii.. ?
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..
Soma Zaidi...VITABU: Karibu kwenye Maktaba yetu ya vitabu, hapa utaweza kusoma na kudownload vitabu vyetu bure.
Soma Zaidi...Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)
Soma Zaidi...Duniani kuna aina nyingi za nyoka, lakini wachache wao ndio wanaojulikana kwa sumu kali inayoweza kuua haraka. Miongoni mwao ni Inland Taipan, King Cobra, Black Mamba, na Tiger Snake. Sumu zao huathiri mfumo wa neva, damu, au misuli ya mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...