RAJABU ATHUMAN BA.
RAJABU ATHUMAN
BA.ED UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, ni mwalimu na pia ni muelimishaji
katika maswala ya afya na ushauri. tofauti ya kuwa mwalimu pia ana taaluma za
IT kama kutengeneza website, software na graphic design.
›Soma zaidi
SADAMU ABAS
BSWS UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1993, mkoani Pwani-Tanzania, ni mtaalamu katika IT, amesomma Bachelor of science with computer science.
Pia ni system developer, na mtaalamu wa kudisain graphics. Ni mtoaji wa ushauri
kuhusu teknolojia
›Soma zaidi
HASSANI ISA
NURSE FROM KIWOVAC NURSING TRAINING CENTRE
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, anataaluma ya Nursing na pia ni mtaalamu
katika kutunga na kughani mashairi. Ana mkanda mweusi wa gujuriew na ni mrukaji wa sarakasi. Ni mtoaji
ushauri katika afya na maradhi.
›Soma zaidi
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Mengineyo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 557
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4 Simulizi za Hadithi Audio
👉5 Kitabu cha Afya
👉6 kitabu cha Simulizi
MNYAMA ANAYEKIMBIA ZAIDI YA WOTE
4. Soma Zaidi...
maswali na majibu kuusu Afya, teknolojia na dini
Soma Zaidi...
YAJUWE MAAJABU YA MBUZI PORI
1. Soma Zaidi...
Fast
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...
Promo
Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa. Soma Zaidi...
Historia fupi ya kuingia kwa wakoloni Tanzania
Hapa utakwenda kujifunza namna ambavyo ukoloni uliingia Tanzania na vipindi vyake. Utajifunza hatuwa ambazo ukoloni uliweza kupiti na hatimay kuitawala Tanzania Soma Zaidi...
MAAJABU NA UWEZO WA CHEETAH
5. Soma Zaidi...
Tembo
Posti hii inakwenda kukupa sifa za mnyama tembo Soma Zaidi...
TUNAKUTAKIENI RANADHANI MUBARAKA
Wikibongo inawatakia waislamu wote heri ya mfungo wa ramadhaji Soma Zaidi...