Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula stafeli
Iina Virutubisho Vingi
Stafeli ni chanzo kizuri cha vitamini A na C, protini, pamoja na madini ya potassium na magnesium.
Husaidia Kulinda Miili Yetu Dhidi ya Kemikali
Vitamini C na antioxidants zilizopo kwenye stafeli husaidia kuondoa kemikali mbaya na sumu ndani ya mwili, hivyo kulinda seli na tishu za mwili.
Husaidia Kuua Seli za Saratani
Tafiti zimeonyesha kuwa stafeli ina misombo inayoweza kusaidia kuua seli za saratani bila kuathiri seli za kawaida, hivyo kupunguza hatari ya saratani.
Husaidia Mwili Kupambana na Bakteria
Stafeli ina sifa za antibacterial ambazo husaidia mwili kupambana na maambukizi yanayosababishwa na bakteria mbalimbali.
Husaidia Kudhibiti Kiwango cha Sukari Mwilini
Stafeli inaweza kusaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, hivyo kuwa na manufaa kwa watu wenye kisukari kwa kusaidia kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu.
Husaidia Kwa Wenye Kisukari
Kwa kuwa stafeli husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, ni tunda zuri kwa wenye kisukari kwani husaidia katika kudhibiti ugonjwa huo.
Husaidia Mwili Dhidi ya Vimbe na Mashambulizi ya Mara kwa Mara
Stafeli ina sifa za kupambana na uvimbe na mashambulizi ya mara kwa mara ya magonjwa, hivyo kuimarisha mfumo wa kinga na afya kwa ujumla.
Stafeli ni tunda lenye faida nyingi za kiafya, na ni vyema kuijumuisha katika mlo wako ili kufurahia manufaa yake mbalimbali.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza ni kwa namna gani rangi ya matunda ama mboga inaweza kueleza ni virutubisho gani hupatikana humo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza faida za kiafya za kula tunda la chungwa na chenza.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunza kuhusu faida za kiafya zakula maboga. Utajifunza virutubisho vinavyopatikana kwenye maboga.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mboga inayotokana na mihogo inayoitwa kisamvu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu vitamini E, kazi zake mwilini, vyakula vyenye vitamini E pamoja na madhara ya kutokuwa na vitamini E vya kutosha mwilini
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula kitunguu ssaumu - garlic
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Katika somohili utakwenda kujifunzafaida za kiafya za kula mbegu za pilipili. Hapa ttunazunumzia pilipili kwaujumla bila kujali ni aina gani ya pilipili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mainai
Soma Zaidi...