picha

Chemsha bongo namba 25

26.

Chemsha bongo namba 25

Chemsha bongo 25

imageimage
26.Toroka
Mtu mmoja alikuwa amekamatwa, na akafunguwa kwenye chumba chenye milango miwili bila hata ya madirisha. Mlango wa kwanza ulikuwa na nyoka mkali anasubiri uje akugonge. Mlango wa pili ulikuwa na kioo ambacho kikipigwa na jua kunaunguza sana. Ukikisogelea tu unaugua kama moto.

Unadhani mtu huyu atatokaje salama kwenye chumba hiki?

Jibu
Atasubiri jua lizame ndipo atatoka kwa usalama


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 2285

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI

Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03

Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI?

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05

Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.

Soma Zaidi...