Chemsha bongo namba 13

23.

Chemsha bongo namba 13

Chemsha bongo 13

imageimage
23.Manywele
Kijana mmoja alikuwa na nyele ndefu pamoja na ndevu za wastani zilizo nyeusi sana. Kijana huyu alikuwa shevu kwa siku mara 10 mpaka 15. lakini bado alibakiwa kuwa na nyele ndefu na ndevu ndefu. Unadhani ni mtindo gani huwa anatumia?

Jibu
Ni kwa sababu huyu kijana ni kinyozi. Hushevu watu wengine.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 1216

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Chemsha bongo namba 03

Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI?

Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI

Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?

Soma Zaidi...
game

Karibu kwenye uwanja wa Game.

Soma Zaidi...
Toroka gerezani

utaokoka vipi gerezani?

Soma Zaidi...
game

Karibu kwenye uwanja wa Game.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05

Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.

Soma Zaidi...