Sunnah za Udhu
Mtume Muhammad (s.a.w) pamoja na kutekeleza nguzo za udhu alikuwa akiongezea yafuatayo wakati wa kutawadha;
1. Kupiga mswaki kabla ya kuanza kutawadha.
2.Kuanra kutawadha kwa kuosha vi~nja vya mikono na kuanza kitendo hicho kwe "BtsmUIaht"
3.Kusulcutua na kupandisha mail puani.
4.Kupaka maji shingoni wakati wa kupaka maji kichwani.
5.Kuosha mao mare to beads ya kupaka maji kichwani.
6.Kuosha Iola kiungo cha udhu mare tatu.
7.Kuanza kuosha viungo vya kulia (lcuanza na mkono na mguu wa kuW.
8.Kuelekea Qibla na kuleta dua beads ya kutawadha ifuatayo:
(ุนู ุนู
ุฑ ุจู ุงูุฎุทุงุจ ุฑุถู ุงููู ุนูู ุฃู ุงููุจู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
ูุงู: ู
ุง ู
ููู
ู
ู ุฃุญุฏ ูุชูุถุฃ ููุณุจุบ ุงููุถูุก ุซู
ูููู ุฃุดูุฏ ุฃู ูุง ุฅูู ุฅูุง ุงููู ูุญุฏู ูุง ุดุฑูู ูู ูุฃุดูุฏ ุฃู ู
ุญู
ุฏุงู ุนุจุฏู ูุฑุณููู ุงูููู
ุงุฌุนููู ู
ู ุงูุชูุงุจูู ูุงุฌุนููู ู
ู ุงูู
ุชุทูุฑูู ุฅูุง ูุชุญุช ูู ุฃุจูุงุจ ุงูุฌูุฉ ุงูุซู
ุงููุฉ ูุฏุฎู ู
ู ุฃููุง ุดุงุก )) ุฑูุงู ุงูุชุฑู
ุฐู
((Imetoka kwa 'Umar ุฑุถู ุงููู ุนูู kwamba Mtume ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
kasema: Hakuna katika mmoja wenu atakayetawadha akautengeneza wudhuu kikamilifu, kisha akasema : (Ash-hadu alla Ilaaha illa Allaah wahdahu laa shariyka LahuWa ash-hadu anna Muhammadan 'abduhu wa Rasuuluhu, Allahumma-j-'alniy minat Tawwabiyn waj'alniy minal-mutatwahiriyn) โNakiri kwa moyo na kwa kauli kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Allaah peke Yake, wala Hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
ni mja wake na ni Mtume wakeโ โEe Allaah nijaalie niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa wale waliosafi" isipokuwa atafunguliwa milango minane ya pepo aingie wowote autakao ))
At-Tirmidhiy
Umeionaje Makala hii.. ?
FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.
Soma Zaidi...Ujumbe wa Qur-an Utawafikiaje Wale wasio Waarabu au wale Wasiojua Kiarabu?
Soma Zaidi...Tafsiri ya Quran kwa iswahili iliyotafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-BArwani
Soma Zaidi...