picha

Sababu za maambukizi kwenye nephoni

Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.

Sababu za maambukizi kwenye nephroni

1. Kuwepo sumu kwenye figo, hali hii usababisha figo kutumia nguvu katika kuchuja damu

 

2. Magonjwa- mbalimbali kama typhoid ambayo usababisha maambukizi kwenye nephroni

 

3. Homa ya mapafu nayo usababisha figo kuwa na Maambukizi

 

4. Madawa, hasahasa madawa yanayotumiwa mara kwa mara usababisha maambukizi

 

5. Kutumia sana kemikali,kunywa maji mengi sana, kutumia sana dawa za kupunguza maumivu uleta maambukizi kwenye figo

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1596

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A

Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Dawa za uzazi wa mpazi na athari zake kiafya.

awa za uzazi wa mpango ni nyenzo muhimu zinazosaidia wanandoa kupanga familia zao kulingana na mahitaji yao. Ingawa zina faida kubwa katika kuzuia ujauzito usiotarajiwa, dawa hizi hufanya kazi kwa kubadilisha uwiano wa homoni mwilini, jambo ambalo linaweza kuleta madhara au athari (side effects) kwa baadhi ya watumiaji. Makala hii inaangazia aina za dawa hizi na mambo ya kuzingatia kiafya.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutambua dalili za msongo wa mawazo (Stress).

Msongo wa mawazo (stress) ni hali ya kisaikolojia na kimwili inayotokana na shinikizo la maisha, ambalo linaweza kuathiri afya ya jumla ikiwa halitadhibitiwa. Makala haya yanatoa mwongozo wa kitaalamu wa kutambua dalili za msongo wa mawazo, ikijumuisha mabadiliko ya kihisia, kimwili, na kitabia, pamoja na mikakati ya usimamizi ili kudumisha afya bora ya akili.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya kuambukiza.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi

Soma Zaidi...
Vyanzo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo

Soma Zaidi...
Homa ya manjano kwa watoto wachanga: Nini kifanyike?

Homa ya manjano ni hali ya kawaida kwa watoto wachanga ambapo ngozi na sehemu nyeupe ya macho hubadilika na kuwa na rangi ya manjano. Hali hii hutokea pale kiwango cha bilirubin—kemikali ya manjano inayotokana na kuvunjika kwa seli nyekundu za damu—kinapokuwa kikubwa mwilini kuliko uwezo wa ini la mtoto kuiondoa. Ingawa mara nyingi si hatari, ni muhimu kuifuatilia kwa karibu ili kuzuia madhara kwa mfumo wa neva wa mtoto.

Soma Zaidi...