picha

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Jaman mim sijielewi Nina vidondo kwenye uumeo n upele unao washa San sas sielewi



Namba ya swali 047

Una vidonda kwenye Uume, na vipele vinavyowasha. Vipi ukifika hospitali?



Namba ya swali 047

Bado sijafika lakin naogopa san maan vimenitokea pak kwenye makalio na vinawasha sana au ndy dalili moja wapo ya vvu maan paka nachanganyikiwa



Namba ya swali 047

Kwa tofauti na hali hiyo una dalili za HIV? maana hivyo vipele pekee sio dalili ya HIV



Namba ya swali 047

Hapan hakuna dalili zaid ya vipele je inaweza kua ugonjwa gan sas



Namba ya swali 047

Inaweza kuwa kisonono



Namba ya swali 047

Ni gonjwa la ngono maana ndiyo naliskia kwako lakini vipele vipo paka kwenye mapaja na chin ya kitovu kidogo ndugu yangu napta shida sana nisaidie



Namba ya swali 047

Kisonono haiweI leta vipele kwenye maeneo mengine. Yenyewe inaleta vidonda na usaha kwenye uume. Mara chache sana kuketabvipelenkwenye uume.



Namba ya swali 047

Hewenda una fangasi kali sana. ama kuna bakterei wanakusumbua hapo



Namba ya swali 047

Kiukwel dalili yoyt ya HIV xjaion vipele hivi ndy nashindwa kuelwa nikipata joto nawashwa san ndg yangu paka kwenye mapumbu vipele vipo



Namba ya swali 047

Ukipata muda kacheki huwenda ni fangasi,



Namba ya swali 047

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4510

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...
Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu

Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Kiungulia kwa wajawazito, dawa yake na njia za kukabilianannacho

Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
Napenda kuuliza mke wangu anamuda wa wiki moja . tumbo na maziwa vinauma je dalili hizo zinawekuwa ni ujauzito...?

Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito.

Soma Zaidi...
Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti

Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti

Soma Zaidi...