picha

kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na meno kutoboka ni dalili za HIV

kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na meno kutoboka ni dalili za HIV

Habari Mimi kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na pia naona niko na meno yalio tobolewa na meno hayo kwa maumivu yake yakanisababishia uvimbe kama jipo je nayo ni dalili za HIV



Namba ya swali 039

Je kuna shida yeyote ya kiafya inakupata tofauti na meno?



Namba ya swali 039

Pia dalili za maleria yani kichwa joto tumboni kama kujaa ges



Namba ya swali 039

Na bado sija enda kujicheki afya kwa kuujua uhakika



Namba ya swali 039

Ni nhumu kujuwa HIV bila vipimo, kupungua kwa uzito na kukonda inaweza kuwa daliki za UKIMWI ila sio kirahisi kiasi cha kutokea bola hata ya kuumwa na maradhi nyemelezi, ijapokuwa inaweza kutokea kwa baadhi ya watu. Hata hivyo shida kwenye neno onaweza kuwa dalili ya HIV ila nayo huwa ikiambatana na fangasi kwenye ulimi na madoa madoa ulokininna mdomoni n.k Ni vyema kupima kwanza



Namba ya swali 039

Bc nashkur kwa ushaur



Namba ya swali 039

Ok karibu tena



Namba ya swali 039

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1930

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 ai web app    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitomvu kwa wanawake na wanaumr?

Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu. Ni katika maumivu amaboyo kwa wanaume mara nyingi huhusishwa an ngiri na kwa upande wa wanawake huhusishwa na chango hasa pale wanapokaribia kuingia katika siku zao. Ma

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;

Soma Zaidi...
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dalili ya pressure ya kupanda

Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya

Soma Zaidi...
Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye uume

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa vidonda vya kitanda (bed sores)

Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya ini.

posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr

Soma Zaidi...
Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija

Soma Zaidi...