Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na njia bora za kuitumia ili kuboresha utendaji wa tovuti yako kwenye injini za utafutaji kama Google.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Katika kompyuta, worm ni aina ya programu hasidi (malware) inayojinakili yenyewe na kusambaa kupitia mitandao bila kuhitaji kushikamana na faili au programu nyingine. Tofauti na virusi, worm husambaa haraka zaidi na mara nyingi hutumia mtandao kuenea.
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu HDD (Hard Disk Drive) na SSD (Solid State Drive)
Soma Zaidi...Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator, kukagua matumizi ya vifaa vilivyoingia (logged in devices), kuondoa apps zisizo za lazima, na kuzuia ulaghai (phishing). Hatua hizi zinaongeza sana ulinzi na kupunguza hatari ya kudukuliwa.
Soma Zaidi...Server ni kompyuta au mfumo unaotoa huduma au rasilimali kwa kompyuta na vifaa vingine kupitia mtandao. Zinaweza kutoa huduma kama kuhifadhi data, kuendesha tovuti, kusambaza faili, au kushughulikia barua pepe.
Soma Zaidi...