Nini maan ya Trojan kwenye tehama
Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kutumia Bluetooth kwa Usalama
Teknolojia ya Bluetooth inatusaidia kuunganisha simu zetu na vifaa vingine kama spika, vipokea sauti (headphones), na hata redio za magari bila kutumia waya. Pamoja na kurahisisha maisha, Bluetooth inaweza kuwa njia ya wezi wa mtandaoni (hacker) kuiba picha, jumbe, na siri zako usipokuwa mwangalifu. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa jinsi Bluetooth inavyofanya kazi, hatari zake, na hatua rahisi unazoweza kuchukua leo ili kulinda simu yako na kubaki salama wakati wote.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kubadili Default SIM ya Data
Je, unamiliki simu ya laini mbili lakini unajikuta ukitumia bando kwenye laini isiyo na ofa nzuri? Hii ni changamoto inayowakuta watu wengi, na mara nyingi husababisha salio kuisha bila kukusudia. Katika makala hii, utajifunza jinsi ya kubadili "Default SIM ya Data" (laini kuu ya intaneti) kwa hatua rahisi, ili uweze kudhibiti matumizi yako na kuokoa gharama.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kufungua Faili za PowerPoint Kwenye Simu
​Je, umewahi kupokea faili ya uwasilishaji (presentation) yenye picha na maandishi mazuri, lakini ikashindikana kufunguka kwenye simu yako kwa sababu ina jina lenye ".pptx" mwishoni? Usihofu. Faili za PowerPoint ni vifaa muhimu sana vya kuonyesha mawazo, ripoti, au mafunzo. Katika mwongozo huu, tutaangalia kwa lugha rahisi kabisa jinsi unavyoweza kufungua na kutazama faili hizi kwenye simu yako, bila kuhitaji kompyuta au ujuzi mwingi wa kiteknolojia.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuzima Notifications Zisizohitajika
Je, umechoka na sauti za mara kwa mara kwenye simu yako zinazokuvuruga ukiwa kazini, umelala, au unapumzika na familia? Taarifa hizi za mara kwa mara (notifications) kutoka kwenye programu (apps) kama WhatsApp, Facebook, Instagram, au michezo ya watoto zinaweza kuondoa utulivu wako. Makala hii inakufundisha kwa lugha rahisi kabisa hatua kwa hatua jinsi ya kuzima milio na ujumbe huo usiohitajika kwenye simu za Android na iPhone, ili uweze kutumia simu yako kwa amani bila usumbufu.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutumia Microsoft Teams
Microsoft Teams ni zana yenye nguvu inayosaidia watu kufanya kazi pamoja, kupiga simu za video, na kubadilishana taarifa kwa urahisi. Katika makala haya, tutakuongoza hatua kwa hatua jinsi ya kuanza kutumia Microsoft Teams, kuanzia kujiunga hadi kuanzisha mikutano. Lengo letu ni kukuwezesha kutumia teknolojia hii bila kujali kiwango chako cha elimu, kwa njia inayoeleweka na ya haraka.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kusaini Nyaraka kwa Simu
Katika ulimwengu wa kisasa, si lazima tena kuwa na printa (mashine ya kuchapisha) au peni ili kusaini mkataba au waraka muhimu. Unaweza kumaliza kila kitu ukiwa umekaa nyumbani kwako kwa kutumia simu yako ya mkononi pekee. Makala hii inakupa hatua rahisi za jinsi ya kusaini nyaraka kidijitali ili uweze kusonga mbele na mambo yako bila usumbufu wowote.
Soma Zaidi...