Nini maan ya Trojan kwenye tehama
Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 kitabu cha Simulizi π2 ai web app π3 Kitau cha Fiqh π4 Kitabu cha Afya π5 web hosting π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kuweka Wimbo Kuwa Ringtone
Je, umechoka na sauti zilezile za kawaida zilizokuja na simu yako? Makala hii itakufundisha hatua kwa hatua, kwa lugha rahisi kabisa, jinsi ya kubadili wimbo unaoupenda uwe sauti ya simu yako (ringtone). Iwe unatumia simu ya Android (kama Samsung, Tecno, Infinix, au Itel) au simu ya iPhone, mwongozo huu ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Jinsi ya Kubadili Lugha ya Simu
Makala haya yameandaliwa kwa ajili ya kila mtumiaji wa simu anayependa kujitegemea. Tutaangazia jinsi ya kupata mipangilio (Settings), namna ya kuchagua lugha unayoitaka, na jinsi ya kurudisha lugha ya awali ikitokea umekosea. Lengo letu ni kukuondoa hofu ya "kuharibu simu" na kukupa ujasiri wa kutumia teknolojia hii kwa faida yako.
Soma Zaidi...Vipi matoleo ya softawe (version) yanaandikwa
Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutumia QR Code
Katika makala hii, utajifunza nini maana ya QR Code, umuhimu wake, na jinsi unavyoweza kuichanganua (scan) kwa kutumia simu yako. Lengo letu ni kukuwezesha kutumia teknolojia hii katika maisha yako ya kila siku, iwe ni kupata taarifa za tovuti, kusoma menyu ya mgahawa, au kufanya malipo ya huduma mbalimbali.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuunganisha Simu na TV
βJe, umewahi kutamani kutazama picha za familia, video za sherehe, au filamu nzuri kwenye skrini kubwa ya televisheni badala ya kuitazama kwenye skrini ndogo ya simu yako? Hili linawezekana kabisa! Katika makala hii, tutakufundisha jinsi ya kuunganisha simu yako na TV kwa urahisi, bila kuhitaji vifaa ghali au utaalamu wa hali ya juu. Utaona jinsi unavyoweza kuifanya TV yako ionyeshe kila kitu kinachoonekana kwenye simu yako.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuondoka Kwenye Vifaa Vyote Vilivyoingia Akaunti Yako
βKujiondoa kwenye vifaa vyote (Log out of all devices) ni hatua muhimu ya usalama wa mtandaoni. Makala hii inakuelekeza jinsi ya kutumia mipangilio ya akaunti yako ili kuona ni vifaa gani vimeingia kwenye akaunti yako na jinsi ya kuviondoa vyote kwa mbofyo mmoja ili kuhakikisha wewe pekee ndiye unayeweza kufikia data zako.
Soma Zaidi...