Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...Post hii utakwenda kujikitabzaidi kujibu swali, hata hivyo itambulike kuwa wengi wa wanasayansi waliohusika kwenye lugha hizi sio wamarekani.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Soma Zaidi...