Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Blogger na WordPress ni majukwaa maarufu ya kuunda blogu na tovuti. Blogger ni huduma ya bure inayomilikiwa na Google, rahisi kutumia lakini ina mipaka katika uhariri na udhibiti. WordPress ni jukwaa lenye uhuru mkubwa wa kubinafsisha tovuti, lenye toleo la bure (WordPress.com) na la kujitegemea (WordPress.org).
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...RAM (Random Access Memory) na ROM (Read-Only Memory) ni aina za kumbukumbu kwenye kompyuta au vifaa vya kielektroniki, lakini zina malengo na tabia tofauti.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator, kukagua matumizi ya vifaa vilivyoingia (logged in devices), kuondoa apps zisizo za lazima, na kuzuia ulaghai (phishing). Hatua hizi zinaongeza sana ulinzi na kupunguza hatari ya kudukuliwa.
Soma Zaidi...Leo tutajifunza sababu zinazoifanya simu kuwa rahisi kudukuliwa na hatua madhubuti za kuzuia udukuzi. Tutazungumza kuhusu matumizi salama ya intaneti, usimamizi wa apps, usalama wa akaunti, pamoja na tabia muhimu za kujikinga.
Soma Zaidi...