Nini maan ya Trojan kwenye tehama
Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Trojan ni aina ya programu hasidi (malware) inayojificha kama programu halali au muhimu ili kuingia kwenye kifaa chako bila wewe kujua. Baada ya kuingia, Trojan hutekeleza shughuli mbaya kama:
1. Kuiba taarifa - kama nywila, data za kifedha, au taarifa binafsi.
2. Kufungua mlango wa nyuma - kuruhusu wadukuzi kudhibiti kifaa chako kwa mbali.
3. Kuenea kwa virusi vingine - kusaidia kusambaza malware nyingine.
4. Kuharibu data - kufuta au kubadilisha faili zako muhimu.
5. Kufuatilia shughuli zako - kama kuandika kila unachotype (keylogging).
Trojan hupatikana mara nyingi kupitia viambatisho vya barua pepe, faili zilizopakuliwa kutoka kwa vyanzo visivyo salama, au hata programu zilizodukuliwa. Ili kujilinda, hakikisha unatumia antivirus yenye nguvu na unapakua tu programu kutoka kwa vyan
zo vya kuaminika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kufunga App kwa Password
Makala hii inatoa mwongozo wa kina kuhusu umuhimu na njia za kufunga programu kwenye simu za Android na iPhone. Tutajifunza jinsi ya kutumia vifaa vilivyojengwa ndani ya simu, na pia jinsi ya kuchagua programu za nje (App Lock) kwa usalama zaidi. Lengo ni kuhakikisha unadhibiti nani anayeweza kuona nini kwenye simu yako.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutengeneza Reminder Kwenye Simu
​Kuweka reminder ni njia bora ya kupanga siku yako bila msongo wa mawazo. Tutajifunza jinsi ya kutumia Google Tasks au Google Calendar, ambazo ni njia rahisi zaidi kwa watumiaji wa simu janja (smartphone).
Soma Zaidi...Jinsi ya Kurekodi Screen ya Simu
Je, unataka kujifunza jinsi ya kurekodi screen ya simu yako ya Android au iPhone? Soma mwongozo huu rahisi unaoeleweka na kila mtu, hata kama huna elimu kubwa ya teknolojia. Jifunze hatua kwa hatua sasa!
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutumia Smartwatch na Simu
Smartwatch ni zaidi ya saa ya mkononi; ni rafiki wa karibu wa simu yako. Makala haya yanakupa mwongozo rahisi na wa kina wa jinsi ya kuunganisha, kutumia, na kunufaika kikamilifu na saa yako janja (smartwatch) kwa kushirikiana na simu yako. Iwe wewe ni mtumiaji mpya au unataka kuelewa zaidi uwezo wa kifaa chako, mwongozo huu utakuongoza kwa lugha rahisi na hatua zisizo na utata.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuzuia Simu Kupata Moto Sana
​Je, simu yako inakuwa ya moto sana kiasi cha kushindwa kuishika vizuri? Kupata moto kwa simu (overheating) siyo tu kunasababisha usumbufu, bali kunaweza kuharibu betri na ubao wa simu yako (motherboard) kwa muda mrefu. Katika makala hii, utajifunza sababu za msingi zinazosababisha joto hili na mbinu rahisi za kuzuia tatizo hilo ili simu yako ifanye kazi kwa ufanisi zaidi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutuma Fax kwa Njia ya Mtandaoni
Makala haya yanakuelekeza jinsi ya kutumia huduma za mtandaoni (Online Fax Services) kutuma hati zako. Tutajadili hatua za kuchagua huduma, kuandaa hati, kuingiza namba za mpokeaji, na kuhakikisha kuwa hati imefika kwa usalama.
Soma Zaidi...