Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Kwa nini programmers hawatasahau fadhila za localhost?
Sababu ni rahisi:
Localhost ndiye aliyewaamini kabla hata code haijakamilika.
Alikuwa wa kwanza ku-run project yako hata kama ina bugs milioni.
Hakuhitaji password, token, wala SSL – alikukaribisha bila masharti.
Wakati wengine wote walirudisha "Access Denied", localhost alisema:
"Welcome, developer!"
Uki-break kila kitu, yeye hasemi chochote – anakaa kimya, anakusubiri urejeze ; yako tu.
Ukiandika DROP TABLE users, yeye hashtuki – anaamini unajua unachofanya (hata kama hujui).
Localhost ni rafiki wa kweli wa programmer:
anakusikiliza, anakuelewa, na hajawahi kukataa kupokea request yako.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii utakwenda kujikitabzaidi kujibu swali, hata hivyo itambulike kuwa wengi wa wanasayansi waliohusika kwenye lugha hizi sio wamarekani.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...