Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Kwa nini programmers hawatasahau fadhila za localhost?
Sababu ni rahisi:
Localhost ndiye aliyewaamini kabla hata code haijakamilika.
Alikuwa wa kwanza ku-run project yako hata kama ina bugs milioni.
Hakuhitaji password, token, wala SSL – alikukaribisha bila masharti.
Wakati wengine wote walirudisha "Access Denied", localhost alisema:
"Welcome, developer!"
Uki-break kila kitu, yeye hasemi chochote – anakaa kimya, anakusubiri urejeze ; yako tu.
Ukiandika DROP TABLE users, yeye hashtuki – anaamini unajua unachofanya (hata kama hujui).
Localhost ni rafiki wa kweli wa programmer:
anakusikiliza, anakuelewa, na hajawahi kukataa kupokea request yako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na njia bora za kuitumia ili kuboresha utendaji wa tovuti yako kwenye injini za utafutaji kama Google.
Soma Zaidi...Blogger na WordPress ni majukwaa maarufu ya kuunda blogu na tovuti. Blogger ni huduma ya bure inayomilikiwa na Google, rahisi kutumia lakini ina mipaka katika uhariri na udhibiti. WordPress ni jukwaa lenye uhuru mkubwa wa kubinafsisha tovuti, lenye toleo la bure (WordPress.com) na la kujitegemea (WordPress.org).
Soma Zaidi...Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu HDD (Hard Disk Drive) na SSD (Solid State Drive)
Soma Zaidi...Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Soma Zaidi...Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...