Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Kwa nini programmers hawatasahau fadhila za localhost?
Sababu ni rahisi:
Localhost ndiye aliyewaamini kabla hata code haijakamilika.
Alikuwa wa kwanza ku-run project yako hata kama ina bugs milioni.
Hakuhitaji password, token, wala SSL – alikukaribisha bila masharti.
Wakati wengine wote walirudisha "Access Denied", localhost alisema:
"Welcome, developer!"
Uki-break kila kitu, yeye hasemi chochote – anakaa kimya, anakusubiri urejeze ; yako tu.
Ukiandika DROP TABLE users, yeye hashtuki – anaamini unajua unachofanya (hata kama hujui).
Localhost ni rafiki wa kweli wa programmer:
anakusikiliza, anakuelewa, na hajawahi kukataa kupokea request yako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Blogger na WordPress ni majukwaa maarufu ya kuunda blogu na tovuti. Blogger ni huduma ya bure inayomilikiwa na Google, rahisi kutumia lakini ina mipaka katika uhariri na udhibiti. WordPress ni jukwaa lenye uhuru mkubwa wa kubinafsisha tovuti, lenye toleo la bure (WordPress.com) na la kujitegemea (WordPress.org).
Soma Zaidi...Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya bila kujua na kujipeleka kwenye hatari.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na njia bora za kuitumia ili kuboresha utendaji wa tovuti yako kwenye injini za utafutaji kama Google.
Soma Zaidi...Leo tutajifunza sababu zinazoifanya simu kuwa rahisi kudukuliwa na hatua madhubuti za kuzuia udukuzi. Tutazungumza kuhusu matumizi salama ya intaneti, usimamizi wa apps, usalama wa akaunti, pamoja na tabia muhimu za kujikinga.
Soma Zaidi...Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator, kukagua matumizi ya vifaa vilivyoingia (logged in devices), kuondoa apps zisizo za lazima, na kuzuia ulaghai (phishing). Hatua hizi zinaongeza sana ulinzi na kupunguza hatari ya kudukuliwa.
Soma Zaidi...Post hii utakwenda kujikitabzaidi kujibu swali, hata hivyo itambulike kuwa wengi wa wanasayansi waliohusika kwenye lugha hizi sio wamarekani.
Soma Zaidi...