Rafiki wa kweli kwa programmer

Rafiki wa kweli kwa programmer

Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kwa nini programmers hawatasahau fadhila za localhost?

 

Sababu ni rahisi:

Localhost ndiye aliyewaamini kabla hata code haijakamilika.

 

Alikuwa wa kwanza ku-run project yako hata kama ina bugs milioni.

 

Hakuhitaji password, token, wala SSL – alikukaribisha bila masharti.

 

Wakati wengine wote walirudisha "Access Denied", localhost alisema:

"Welcome, developer!"

 

Uki-break kila kitu, yeye hasemi chochote – anakaa kimya, anakusubiri urejeze ; yako tu.

 

Ukiandika DROP TABLE users, yeye hashtuki – anaamini unajua unachofanya (hata kama hujui).

 

 

Localhost ni rafiki wa kweli wa programmer:

anakusikiliza, anakuelewa, na hajawahi kukataa kupokea request yako.

 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: more Main: ICT File: Download PDF Views 142

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Kwa Nini lugha nyingi za kompyuta zimeanzia Marekani
Kwa Nini lugha nyingi za kompyuta zimeanzia Marekani

Post hii utakwenda kujikitabzaidi kujibu swali, hata hivyo itambulike kuwa wengi wa wanasayansi waliohusika kwenye lugha hizi sio wamarekani.

Soma Zaidi...
Kwa Nini blog nyingi hazina sehemu ya comment
Kwa Nini blog nyingi hazina sehemu ya comment

Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo

Soma Zaidi...
Je AI itauwa ubunifu, ama kudhoofisha taaluma?
Je AI itauwa ubunifu, ama kudhoofisha taaluma?

Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.

Soma Zaidi...
Vipi matoleo ya softawe (version) yanaandikwa
Vipi matoleo ya softawe (version) yanaandikwa

Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.

Soma Zaidi...
Nini maan ya Trojan kwenye tehama
Nini maan ya Trojan kwenye tehama

Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake

Soma Zaidi...
Tofauti ya Developer na Programmer
Tofauti ya Developer na Programmer

Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer

Soma Zaidi...
Firewall ni nini kwenye tehama
Firewall ni nini kwenye tehama

Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall

Soma Zaidi...