Rafiki wa kweli kwa programmer
Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Kwa nini programmers hawatasahau fadhila za localhost?
Sababu ni rahisi:
Localhost ndiye aliyewaamini kabla hata code haijakamilika.
Alikuwa wa kwanza ku-run project yako hata kama ina bugs milioni.
Hakuhitaji password, token, wala SSL – alikukaribisha bila masharti.
Wakati wengine wote walirudisha "Access Denied", localhost alisema:
"Welcome, developer!"
Uki-break kila kitu, yeye hasemi chochote – anakaa kimya, anakusubiri urejeze ; yako tu.
Ukiandika DROP TABLE users, yeye hashtuki – anaamini unajua unachofanya (hata kama hujui).
Localhost ni rafiki wa kweli wa programmer:
anakusikiliza, anakuelewa, na hajawahi kukataa kupokea request yako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Tofauti ya RAM na ROM
RAM (Random Access Memory) na ROM (Read-Only Memory) ni aina za kumbukumbu kwenye kompyuta au vifaa vya kielektroniki, lakini zina malengo na tabia tofauti.
Soma Zaidi...Kwa Nini blog nyingi hazina sehemu ya comment
Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...Worm katika kompyuta ni nini?
Katika kompyuta, worm ni aina ya programu hasidi (malware) inayojinakili yenyewe na kusambaa kupitia mitandao bila kuhitaji kushikamana na faili au programu nyingine. Tofauti na virusi, worm husambaa haraka zaidi na mara nyingi hutumia mtandao kuenea.
Soma Zaidi...Nini maan ya Trojan kwenye tehama
Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Soma Zaidi...Firewall ni nini kwenye tehama
Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Soma Zaidi...Nini kinaweza kusababisha simu yako kudukuliwa
Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya bila kujua na kujipeleka kwenye hatari.
Soma Zaidi...