MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.
MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO
Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika. Lakini minyoo ikizidi madhara haya huwenda yakawa makubwa zaidi.
1.mgonjwa anaweza kutapika damu
2.Miwasho mikali kwenye puru na sehemu za siri kwa wanawake
3.Inaweza kuathiri ini na tishu nyingine
4.Inaweza kupelekea kupata ugonjwa wa anaemia
5.Uchpvu, kupungua uzito na homa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula wanavyopaswa kutumia watu wenye damu ya kundi AB
Soma Zaidi...Nahitimisha kwa kusema ili ufanikiwe katika kuwa mahili wa kutafuta taarifa mtandaoni au kujifunza chochote mtandaoni ni lazima uelewe kuwa borwser au kivinjali kwa kiswahili ndio kama njia ya wewe kuingilia tovuti yoyote ile duniani.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za vitunguu swaumu.vitunguu swaumu sio kiungo Cha chakula tu kama desturi ya watu wengi wanavyojua Bali kitunguu swaumu kimesimama Kama dawa pia ya kutibu maradhi na Magonjwa mengi mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.
Soma Zaidi...Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...