Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.
NINI VIDONDA VYA TUMBO?
Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.
Vidonda hivi hutokea kutokana na mashambulizi ya bakteria wanaoitwa Helicobacter pylori (H.pylori) au kulika kwa ukuta wa tumbo kutokanana na athari za tindikali zilizopo tumboni (stomach acids) kama vile tindikali ya hydrocloric yaani hydrocloric acid. Kwa wakati tulio nao hili ni tatizo la kawaida maana limewapata watu wengi na halisabababishi vifo vya watu wengi kama maaradhi ya saratani na kisukari.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda hivi vimegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni:-
1.Gastric ulcers hivi hutokea ndani ya tumbo la chakula
2.Esophageal ulcers hivi hutokea ndani ya esophagus. Hii ni sehemu inayounganisha kati ya koo la chakula na tumbo la chakula.
3.Duodenal ulcers hivi hutokea kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum
Vidonda vya tumbo ni pamoja na:
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia za watu wenye damu la kundi A na vyakula ambavyo wanapaswa kuvitumia, na pengine tutaona baadhi ya vyakula ambavyo havipaswi kutumiwa na watu wenye damu ya kundi A au group A
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha mambo mbalimbali na muhimu kuhusu afya ya uzazi
Soma Zaidi...Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI
Soma Zaidi...Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kukaa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto la mwili
Soma Zaidi...kijamiana kwa uchungu kitaalamu hujulikana Kama dysarthria ambayo inafafanuliwa kuwa maumivu ya mara kwa mara au ya mara kwa mara katika sehemu ya siri ambayo hutokea kabla tu, wakati au baada ya kujamiiana
Soma Zaidi...Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu
Soma Zaidi...Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?
Soma Zaidi...