Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 631
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama umetoka kwenye siku za hedhi na hedhi hiyo ni siku tano halafu siku ya sita mtu akashiriki tendo la ndoa je mtu huyo anaweza pata ujauzito??
Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?
samahn mim nin ujauzito wa miez 4 nilienda kupm nikakuta na malaria nikapew mseto huy alie nip dawa kanmby nawez kutumia coz nin ujauzito wa miez 4 je ni kweli
Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini
Me nilitoa mimba ikatoka ilivotoka baada ya mwezi mumoja nikawa cijaingia periodi nikaenda kukutana na mwenza wangu tulipomaliza kufanya nikameza p2 je mimba itatungwa Tena upya au haitatungwa
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo