Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 631
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv
habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Bibi yangu ako na ujauzito na mtoto amenyamaza hachezi pia heart beat yake hatuisikii
Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani