Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 631
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
Je unawesa kujuwa Mimba ya wiki Moja
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula
Kutokwa na uchafu wenye harufu sehem za Siri na kukosa uteute kipindi Cha harari ni dalili za ugumba??