Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 631
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili
Dr tatizo lingine Ni kwamba nabanwa na mkojo kila muda mabayo Ni kawaida kwa mjamzito Ila Kuna wakati nahisi kibofu kinauma kana kwamba mkojo umejaa Sana Ila nikienda kukojoa natoa mkojo kidogo saana na bado kibofu nahisi kimejaa Hilo Ni tatizo gani
Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?
Samahani tarehe 11 mwenz 12 nili toka na damu nyeusi sana na damu mabonge mabonge zili toka siku tatu zikakata nikaja tena kutoka na damu tarehe 8 ya mwenz wa kwanza zili toka siku tano
Sasa Jana tena damu hime aza kutoka tena tatizo nini naomba nisaidie na nina taka mtoto
Napata maumivu chini ya tumbo la kushoto maumivu hayo yanaenda korodani la kushoto
Habari naomba unisaidie mm niliingia period trh 25 mwez wa kwanza nkamalza thr 31 nikasex na mume wang trh 11 sasa huu mwez wa pili cjaingia period nashindwa kuelewa naomba unisaidie