Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninammba ila damu inatoka unanisaidiej
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1067
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kupata vichomi nazo ni dalili za ujauzito na hizo homon zasababishwa na nin kubadilika
Je binti mdogo ambaye bado ni bikira anatibiwa na dawa gani akipata changamoto bya fungus ukeni
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie
mimi nina minyoo na wasikia kabisa wakiwa wana tembea nyuma nime tumia dawa ya Albendazole lakini bado napata dalili za minyoo
Alafu hiv nikweli tende inaongeza nguvu za kiume na je kama inaongeza how it's Function, please Doctor may help me
Nilingia period tarehe 16 mwezi wa 2 nikashiriki tendo la ndoa 3 je nnawezekano wa kua na mimba maan mpka Sasa sijaingia Tena period