Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 267
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari me nashwali kama unayo PID unaweza kupata ujauzito na ukajifungua Salam
Niko na40year nasina mtoto lakini wakati watendo ladoa natowa maji.
Naweza faya nn dyo niewach kutowa hayo maji niepate mimba.
Ikiwa mtu amevunjika mkono amewekwa muohogo pindi akitaka kuchukua udhu inakuaje
Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake
dr nilipita saloon za kisasa hizi bahat mbaya nikashawishika ujana huu bc dada akanifanyia massage Yani handjob au kufanyish punyeto kwa kunishk shk sehem zang nyet ,,naulz km aiwez kuwa risk kw maambukiz maan zmepit week 3 nikapat mafua week nzima,
Habari zauzima waheshimiwa Mimi swali langu nikuhusu dawa na matibabu ya sekoseri napenda kufaham, kujua na kuweza kusaidia Jami yangu uliyo nizunguka na taifa kiujumla