Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?
Mabadiliko ya homoni huchangia kwa kiasi kikubwa wingi wa damu ya hedhi.
Hata hivyo kama imetoka tone chache tu na kukata inaweza kuashiria ujauzito.