Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 581
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Kwamfano umejamiiana na mtu wiki iliyopita unatakiwa ukae kwa muda gan ili ukapime
Habar mimi nina tatizo lamifupa ilaninakunywa juice ya Bamia kila siku katakata bamia ninaliloeka kwenye Maji baada ya masa’s kumi Ni nafanya sawa au nakosea naomba muongozo
Nimejifungua Tarehe 21/02/2023 Mtoto Akiwa Kafa Muda Kama Wiki 3 Hivi Na Kazaliwa Haeleweki Ana 200gm Na Sura Hamna Ni Jinsia Tu Na Mimba Yangu Ilikua Ya Miezi 7 Tatizo Linaweza Kua Ni Nini? Na Nikae Muda Gani Niwe Tayali Kupata Ujauzito Tena?
sijaelewa, ni baada ya siku ngapi kumaliza hedhi ndo maji yanayo onyesha dalili za kubeba mimba yanaonekana?