Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 581
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
Mm mimba zangu mbili zote ziliharibika na sasa Nina miezi mitatu najaribu kupata mtoto inashindkkana nn nifanye sababu nataman kuwa mjamzito
Morning... sorry nina swali.. nasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na inapelekea mpka vinafika kooni ... je nitumie dawa dawa gani ili zinisaidie???
Habar naomba kufahamu zaid kuhusu dalili za minyoo je pia unaweza kuwa nahici mwili kuwaka moto au haswa kwenye mwanga au joto adi unataman kupulizwa na upepo
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia