Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 300
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??
Habari doctor naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je naweza kupata ujauzito na je Kuna dalili ambazo naziona maumivu ya mgongo kwa chini kama panawaka moto kichefuchefu mwili kukosa nguvu maumivu ya tumbo hasa upande wa chini naharisha stool mfano wa makohoz na mapovu lakini uke ni mkavu na no discharge na matiti hayaumi wala kujaa je Kuna uwezekano nikawa mjamzito
Sawa ila mi natakakujua je hivi vipimo vya hospitali za selikali uwonesha majibu mudagani baada ya mutu kuasilika?
Habar yak ndugu,naomb kuuliz hv condom zina uwez wa kuzuia virusi vya ukimwi kwa 100%?
Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje