Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 300
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante
Ikiwa vipimo vya magonjwa ya zinaa vitafanyika kwa mwanamke hata kabla ya dalili kuonekana nje, majibu huonyesha maambukizi?
Kama hali ya mkoj inasababishwa na madawa wakati mwingine je inachukua mda gani hiyo hali kukata na kurudi hali ya kawaida kukojoa mkojo mweupe tafadhali naomba ushaur doctar
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
Bibi yangu ako na ujauzito na mtoto amenyamaza hachezi pia heart beat yake hatuisikii
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??