Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 300
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Vidonda mdomon huonekana baada ya mda gani?
Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
Naomba niulize natumia vidonge vya uzazi wa mpango ila nilisahau siku moja lakini sikushiliki siku hiyo nilikuja kushiki siku ijayo lakini nilikuwa nimekumbuka kumeza siku iyo je naweza nikawa na mimba
je? kunawa au kujifuta mbegu kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa kunaweza kuwa tatizo la kupata mimba.
Asante sana Mimi nimesoma kuhusu ukimwi na dadilili zake nimeziona lakini mwezi kuisha nilienda kupima nikaambiwa Sina na wakati nimepungua gafla tu
Niliona vitezi vya kwapa zote mbili na kichwa kuuma Sana na vipele sehemu za Siri