Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 727
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je,mtu akiwa ameasirika alafu akameza dawa je majibu yatato vp??
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn
Ikiwa umepima mara kadha hamna majibu hapo unakuwa hauna au?
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
nimetembea na mtu mwenye ukimwi zaidi ya mara 15,,, afu nigundua karbuni ,,,nishatembea nae,, mwishoe nimejikuta kunavipele yamenipata vidogovidogo vimejikusanya kama vile niugua na moto vinatoa maji je inaweza kuwa ndo dalili ya kuwa nimeambukizwa
naombaa kuuliza swali minyoo inapokuwa mingi zaidi haiwezi kuhusika na upungufu wa nguvu za kiume?