Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vidonda mdomon huonekana baada ya mda gani?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 217
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto
Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
Haya misutari anayofanyaaa mama mjamzito yanawezaa kuondokaaa Kwa dawa gani au ndo hayaondokaaa tenaaa
Mm Nipo znzbr ila Nina ttz Nilienda spitali kuchangia damu wakapima saizi ya damu yngu ni 15 nikatolewa damu ila baad ya kutolewa damu Kuna Hali imenijia nahisi mwili unakua ni mchovu sana na unakua na unaunguza sana na unakua unauma sna
Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini