Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vidonda mdomon huonekana baada ya mda gani?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 217
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza
Nataka kujua ipo tiba ya uvimbe kwenye. Kibofu?
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba
Je kama mwanamke hataki kuswali alaf hana tabia nzur na wazaz wangu yaan hawaeshim kiujumla. Je sheria inasemaje kwa mwanamke huyo
Kuna wanawake hutoka maji wakati wa tendo la ndoa hiyo inatokana na nini