Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 93
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini