SWALI

Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante

Swali No. 1227


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1227 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 21-05-2023-04:38:42 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA