Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
Angalia video hii
https://youtu.be/8xrGwloF17A
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm mimba zangu mbili zote ziliharibika na sasa Nina miezi mitatu najaribu kupata mtoto inashindkkana nn nifanye sababu nataman kuwa mjamzito
Naomba msaada mm nahisi kichefuchefu na sitapiki mdomoni mate machungu na kichwa kinauma je xhida ni nn na mimba sina
Maganda ya topetope nayo yanafaida gani na mbegu sake je naweza kusaga juice bila kutoa mbegu na makanda yake
Je,mtu akiwa ameasirika alafu akameza dawa je majibu yatato vp??
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
Mimi Nina umri wa miaka 33 ninatatizo la kutoshika ujauzito