Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
Angalia video hii
https://youtu.be/8xrGwloF17A
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Na dalili zifuatazo tumbo kujaa ges alaf wakati wa kucheua napata shida njaa mda wote naomba msaada
Mimi nililala na Mwanamke mwenye ameathirika niko na wiki mbili saii je nitasaidika kweli
Mimi ninaswali . Nilikuwa na tumia kijiti mimi kukitowa nasikiya maumivu ya tumbo sana
Swali langu nahitaji kujua nini shida kutoka majimaji uken na yanayo Nuka sana na si mjamzito
Sjawahi kuumwa fangasi but ndo Mara yangu yakwanza naona Hali hii yakutokwa uchafu ukeni na nia yangu nitiba Mana nimetumia dawa za farmasi lakini wapi uchafu unatoka