Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
Angalia video hii
https://youtu.be/8xrGwloF17A
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi
Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin
Habar jee ukiwa mjamzito namimba ishafika wiki 37 unaweza kuzaa na mtoto akapona na ukijihis sehemu ya uke inajaa nidalili gn
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara
Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?