Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
Angalia video hii
https://youtu.be/8xrGwloF17A
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je, unaweza kupata mimba ukiwa haupo kwenye cku za hatari?
Ni mambo gani yanaweza kusababisha UTI kujirudiarudia na ni nini kifanyike ili kuzuia hilo
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
Napenda kuuliza kama kuna madhra yeyote kufanya mapenzi na mama anae nyonyesha
Maji maji ya njano ukeni inaweza ikawa Ni dalili ya ujauzito
Habari naomba unisaidie mm niliingia period trh 25 mwez wa kwanza nkamalza thr 31 nikasex na mume wang trh 11 sasa huu mwez wa pili cjaingia period nashindwa kuelewa naomba unisaidie