Pata jibu kamili kuhusu swali lako
JE kuhisi Kama miwasho au sisimizi inakutamba mwilini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 874
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dkta habari mimi nasumbuliwa natumbo kulia na kushoto nauwo upande wakulia ndo umezidi mana unachoma mpk nyuma ya mgongo hasa uck nikilala shida nn
Zabibu inasaidia kuondoa michirizi na chunusi mwilini?
Je kama tumbo lipo kama linavuruga chin ya kitovu hiyo pia ni dalili ya mimba changa?
Habari yako Dr, Napenda kuliza swali mm ni mtoto wakike ninatatizo la vitu kunitembea chini ya tumbo nikiwa nimetulia nikiwa na maana chini ya kitovu vinaenda kulia na kushoto pia mdomo kunikauka nidalili gani?
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
naomba tiba ya kutokwa harufu mbaya mdomoni