Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ulimi ukishambuliwa peke yake ni fangasi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 782
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na juz jmne nilitok km tui .na Leo yalikuwa mepesi kulik y juzi. Na kiuno mda mwengn kinauma.naomba msada
Mala nyingi huhisi maumivu chini ya kitovu kiuno mgongo huhisi baridi na maumivu makali mweli mzima pale Ninapo kua namkojo au au njoo kikubwa huhisi maumivu kwenye mwili au baridi Kali kukosa hamu ya kula naomba ushauli wenu na jinsi ya kutibiwa kwani nateseka hata hamu ya mahusiano me Sina kabisa
Mm sijapata period ni miezi miwili sasa ila ninepima ujauzito kwa UPT negative pia tumbo linauma nikilipobonyeza naomba unisaidie tatiz nini
Je mimba ya miez 6 inasababisha kuumwa kiuno
Faida ya kutumia matunda kiafya ni zipi
Mm nimedunga sindano tarehe tano za mwezi wa kwanza n'a mpaka sasa sijaona siku zangu ila nabaki nasikia maumivu chini ya kitovu kwa mbali n'a nimefanya tendo la ndowa siku iliofuata tarehe 6 je naweza kupata mimba?