Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ulimi ukishambuliwa peke yake ni fangasi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 782
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan kwa usumbuf naomba ushauri wenu mimi nina ujauzito wa wiki 37 ila tumbo linaniuma kiuno kinauma natapika maji machungu chuchu zinauma kwenye magoti na kwenye uti wa mgongo naomba ushauri yote haya yana sababishwa na nn samahan kwa usumbuf lkn🙏🙏
Je nisahihi mtu mwenye vidonda cya tumbo kula mboga za majani
Ahsante nimesoma makala Je! Michubuko huonekana kwa macho baada ya kufanya tendo la ndoa?
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
Docta me nina shida nina mimba ya miez miwili natokwa damu matone matone nikaend hsptl nikapigwa ultrasound mimba ipo nikapewa dawa ila sasà damu naona matone yanaongezeka alafu ni mekundu kuna kibonge kidogo kimetok ukeni ndo mimba imetoka au mana vipimo nimefanya jana 2 Hali imebadilik kesho yake
Nina shida naumwa tumbo upande wa kushoto