Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habar mke wangu analala Mika miguu kukosa nguvu shida itakwa nin
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1035
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm nilienda nilifanya ngono siku ya Saba je nimjamzito
Habari nina tatizo la kiungulia
Na dalili zifuatazo tumbo kujaa ges alaf wakati wa kucheua napata shida njaa mda wote naomba msaada
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Hellow.... Nimepat taarf zen kutok Google kuhus dalil za mimb Chang... Mim ninalo swal je, maumiv y kiuno n uti wa mgongoo n dalil z mimb??
Je mtu anaweza kutumia dawa akiwa kwenye siku za hedhi?