Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1233
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani nikisha jihisi kuwa ninamimba changa je naweza kutumia dawa ya kuzuia kuharisha plees naomba kujuwa
dr nilipita saloon za kisasa hizi bahat mbaya nikashawishika ujana huu bc dada akanifanyia massage Yani handjob au kufanyish punyeto kwa kunishk shk sehem zang nyet ,,naulz km aiwez kuwa risk kw maambukiz maan zmepit week 3 nikapat mafua week nzima,
Daktar kuna kingine kamaa malengee lengee nmkiinqa leo asubh kwa pemben kwa juu ilaa kimevimbaa Wakt was kukaa kinavutaa na kusimama...
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
Asante sana Mimi nimesoma kuhusu ukimwi na dadilili zake nimeziona lakini mwezi kuisha nilienda kupima nikaambiwa Sina na wakati nimepungua gafla tu
Niliona vitezi vya kwapa zote mbili na kichwa kuuma Sana na vipele sehemu za Siri
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?