Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 526
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kueleza wasifu wa malaika
Nataka kufahamu katika Sala ya Eid imamu anapo soma takbira Allah Akbar!! Maamuma baada ya kuuitikia kuna mapumziko fulani baina ya Takbira, pale una faaa usome DUA gani?
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Asalam alaykum natka kujuwa kisa Cha ngo'mbe wa baniii israil