Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 526
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
Assalam alaykum shekhe naomba kuuliza ikiwa mke amefariki amewacha mume tu na Hana ndugu Wala watoto wa kumrithi ni mume tu je mume anapata nusu ile ile au anarithi Mali yote?
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq