Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tumbo kuuma chini ys kitovu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 86
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo
Bt kwa Sasa kichwa kinauma tumbo mwili unakosa nguvu na napata choo kilain Sana kama cha kuharisha Leo n cku ya nane toka nkutane na mwanaume bt Jana nmepma mstari mmoja tyu umejitokeza je ni dalili za ujauzito au ni tatizo lingine
Nina umri wa miaka 23 ni msichana mm naomb msaada nilisex baada ya kusex nikakaa kama siku mbili nikaingia period xiku 4 nikatoka nikakaa kama xiku 4 nikasex tena je naeza kupata naeweza kupata mimba
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
Mimi baada ya kufanya mapenz na mwanamke anayesemekena ana ukimwi baada ya wiki 2 nilienda kupima na sikukutwa na maambukizi ya ukimwi lakini saivi nasikia maumivu ya misuli hasa kwenye goti la kushoto
Habari! Nilikuwa nasoma makala yako juu ya mapunye na tiba zake, nina mtoto wa umri wa miaka miwili na miezi mitatu, anasumbuliwa na punye ambalo limejitokeza shavuni karibu na jicho.Ni takribani miezi minne sasa natibu kwa tube, sabuni lakini linapona na kujirudia.Nifanyaje ili kutibu lisinirudie kabisa?