Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tumbo kuuma chini ys kitovu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 86
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu nikwamba baada ya kufanya mapenz baada ya siku 1. Au 2. Mwanamke anaweza. Kuwa na dalili za ujauzito?
Naomba kuuliza kuhusu watu wanaofanya mapenzi kwa mdomo, means kunyonya sehem za Siri,1.wale bacteria au fangus wanaweza kusababisha kansa ya Koo? 2.kama ni ndio utajuaje kama umepata saratani kwa muda huo?3. Kama wapenzi walikua wanFanya hivyo either Mara 3 au 4 alaf wakaacha madhara gan yatatokea? 5. Hatua zipi zichukuliwe Kama Kuna magonjwa yatatokea?
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Samahn mm nko naujauzito lkn vyakula vyote ckuli yaan nkikula natapik hata matunda nayatapik nifany nn ati
Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.