SWALI

Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn
Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin

Swali No. 284




JIBU

kuja kwa mate mdomoni kunaweza kusababishwa na mambo mengi kama vile:-

1. Ujauzito kwa wanawake huwenda nikwa sababu ya mabadiiko ya homomi

2. usafi wa kinywa

3. Bakteria waliopomdooni

4. vyakula

 

Hivyobasi basi kama somjamzito na hali hii inakutokea mara kwa mara, vyema umuine daktari kwa vioimo zaidi. Vinginevyo ikiwa inakutiokea tu wakati wa asubuhi huwenda huna tatiuzo lolote.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 12-02-2023-07:30:10 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA