Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 293
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Shekh zangun kwanza nashkur kwakutoa fursa hii ya kuuliza isichokijua ktk din yetu swali langu nikwamba miminikienda kuswali mskiti ambao hausomi Bismillah kwenye swala za sauti swala yangu itakuwa sawia ama batili?
NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakat..nilikua naulizia hivi zakatul fitr inafaa kutolewa kwa wakristo??
Habari nijins gani yakuandk talaka
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh. Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?