Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nini kilicho mfanya bukhadija afariki alikuw anaumwa au?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 961
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ni mwanamke wa miaka 25..Nilikuwa nina kipindi kirefu kama miaka 3..Sijafanya mapenzi..Sasa baada ya kufanya wakati siku naingia Kwenye siku zangu nilipata maumivu makali sana ambayo kabla sikuwa nayo..Lakini pia nimeanza kupata maumivu ya chini ya kitovu na kiuno ambapo inaambatana na gesi wakat mwingine hadi kichwa kinauma na misuli ya miguuni..Naomba unisaidie shida ni nini?
Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku
Hiviukiwa Umefunga swarm unarusiwa kumuadhibu MTU au
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Je najisi ya mbwa kukuramba inaenea? Kwa mfano akakulamba ww kwenye mkono halafu wewe ukaja kunisalmia mimi nikakushika sehem ileile alokulamba mbwa
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia