Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 23
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi mpenzi wangu anatoka ute mweupe ukeni je tatizo ninini
Mim naumia tumbon nasikia maumivu makali misuli inavuta.pia nikila chakula nashiba upande mmoja nashindwa kujua shida nn
Sababu ya kutapikika mwanamke akiwa period
Habari Doctor pole na majukumu,nna tatizo la kuumwa chini ya kitovu uume unawasha kwa ndani na nikikojoa mkojo unanuka then unatoka na vitu vyeupe vyeupe ukiwa na rangi ya njano lkn nimeenda kupima UTI nikaambiwa sina naomba ushauri Doctor
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
mm natakakujua freee day & dangerous day make mwez huuunimeingia prd18 mpk 23