Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 23
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Je kama unaumwa joint za miguu, kiuno na unakojoa mara kwa mara na kichwa kuum sana utaweza kupona
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Maziwa kuuma Kwa mbali kuskia gas tumboni na kuwasha kidgo maziwa ni chanzo Cha mimba
Habari ya saizi,nimesoma vizr ujumbe wenu nanimeuelewa lkn mm naona dalili ya ukurutu mwilin mwangu ambao cjawah kupata toka nazaliwa yni na niliwahi kuwa napunye miaka minne iliyopita nimetumia kila dawa punye cjapona je punye Hilo inaweza ikawa dalili ya vvu?
Wakati wa kukojoa huwa na pata maumivu makari Sana pale ninapomaliza kukojoa na maumivu chini ya kitovu je ni ugonjwa?