Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni namna gani ambavyo mtu anaweza kujikinga na ukimwi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1190
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nina miaka 31 ni mwanamke pia nauliza mimi ni mjamzito ila napata maumiv sana juu ya tumbo piamwili unachoka sana na najihisi vibaya wakat wote
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
Nawashwa sana sehem za siri pia napata maumiz sana wakat wa tendo had napomalza kwenda haja nlpta kwenye page yenu ndo nmeona kwamba n dalili za fungus
Hata mzunguko wangu haujulkan n wa sku ngp yan hata hazkai mpanglio mzur
Na hapo nikimaliza period huwa naamin kwamba nabanwa na pad yn huwa nawashwa had natumiaga maji ya vuguvugu ndo kdg naacha kujkuna
UNAWEZA KUPIMA VVU MAJIBU YAKAWA NEGATIVE HUKU UMESHAAMBUKIZWA TEYARI?
Maumivu ya kiuno na tumbo la chini kwa mjamzito husababishwa na nini?
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka