Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwashwa kwa muda ukeni kunaweza mfanya mwanamke kuchelewa kupata hedhi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 559
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu nikwamba baada ya kufanya mapenz baada ya siku 1. Au 2. Mwanamke anaweza. Kuwa na dalili za ujauzito?
Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Katika funga za kafara kuuwa paka nayo ni aina ya funga ya kafara
Maranyigi siku zangu naingia tarehe 23 mweziuliopita nimeingia tarehe 22 sijajuwa nikwann
Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia