Pata jibu kamili kuhusu swali lako
siku salama na siku hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 ni zipi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 995
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina miaka 49, mwanamke.nimeenda hospitari nimeambiwa na presha nimepewa vidonge ila bado miguu inauma sio kawaida wiki mbili zimepita naomba msaada nifanyeje
Niliharibikiwa na ujauzito wa week 7 kutokana na kuumwa ambapo nikatumia dawa ambazo sikujua kama Zina effects za kuharibu mimba so nikasafishwa kizazi nikapewa na dawa nikarudi KATIKA Hali yangu kawaida Lakini Leo ni kama siku ya tatu ninahisi maumivu Kwa mbali hasa chini ya kitovu upande wa kushoto au hta nikibinyabinya hiyo sehemu na mkono JE MAUMIVU HAYO YANASABABISHWA NA NINI ?
Mimi nna tatizo la Ngozi kuwasha na nnapojikuna mahali panapo washa Panatoka uvimbe mdogo mdgo Kisha baada ya Muda mfupi kupotea Nazo Ni dalili za minyoo!?
Mm n mwanamke nna miaka30 suali langu n hili km nna ttz la homon nn kifanyike ili niwe sawa sabb nahitaji kubeba mimba
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Ni sababu zipi zunapelekea kizaz kusogea