Pata jibu kamili kuhusu swali lako
siku salama na siku hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 ni zipi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 995
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm shida yangu huu mwezi wa pili sijaziona sku zang na nimepima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo mara tatu sasa lkn naambiwa mimba sina je tatizo ni nn kwangu.
Nina majimaji yanatoka kwa wingi yaan naweza badilisha chipi hata Mara 3 kwa siku alafu yakitoka yanaganda kwenye chupi hiyo Ni Hali ya kawaida harufu yake ipo Ila sio mbaya kivile. Je ni nini tatizo
Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote
Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya zinaa Sina huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.