Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mambo Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 761
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jamn samahan......nataka kujuaa kuwaa kutoa mimbaa na majani ya chai n kwel ???
Pole Kwa majukumu! Samahani Mwanangu ana miezi 8,ila toka juzi hapati haja ndogo,km ilivyo kawaida Jana Hadi Leo kakojoa mara1, Naomba msaada
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Mimi ninaswali . Nilikuwa na tumia kijiti mimi kukitowa nasikiya maumivu ya tumbo sana
Niliona tarehe 5 mwez w kwanza ila tarehe 24 zlikua zmetoka kdgo zenye rang fulan nitofauti kabisa naperiod y kawaida ad najckia aja ndg marakwamara uchovu ucngizi marakwamara na mapgo ya moyo yanaenda kwa kasi sana sanasna nmkitoka kula cjui nn shda
Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??