Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mambo Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 761
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
Dalili za kisukari ni zipi?
Nina fangasi za mdomoni naomben ushaur yan mdom wang umekos hat muonekano mzur
Nsikia upande wangu wa kushoto kwenye kifua kunawaka moto Sana?
Maranyigi siku zangu naingia tarehe 23 mweziuliopita nimeingia tarehe 22 sijajuwa nikwann
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie