Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nsikia upande wangu wa kushoto kwenye kifua kunawaka moto Sana?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1249
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?
Mimi baada ya kufanya mapenz na mwanamke anayesemekena ana ukimwi baada ya wiki 2 nilienda kupima na sikukutwa na maambukizi ya ukimwi lakini saivi nasikia maumivu ya misuli hasa kwenye goti la kushoto
Mm shida yangu huu mwezi wa pili sijaziona sku zang na nimepima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo mara tatu sasa lkn naambiwa mimba sina je tatizo ni nn kwangu.
Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini
m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua
Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini