Pata jibu kamili kuhusu swali lako
namna ya kusafisha kizazi kwa mwanamke
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 118
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Meingia kwenye period tarehe 10 nikakutana na mwanaume tarehe 22 p2nilimeza kesho yake jioni je naweza para mimba
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Kutokwa na uchafu wenye harufu sehem za Siri na kukosa uteute kipindi Cha harari ni dalili za ugumba??
jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi
Smhn n binti mwenye miaka 21 nna tatizo la kutokwa na maji ukeni kama maji ya kawaida tu na n mengi kias kwamba sometym yanaweza vuja had yakanloanisha nguo ya nje na ndani pia, hayana harufu yoyote, na pia sometym mengine yanakuw ya njano, asa hili tatizo gan docta maan nna hofu sn
Samah doctor nina maumivu chin yakitovu siku za nyuma nilikuwa nakojoa mkojo ambao upo cloud na nyonga inaniuma mwili unajoto kal sielew ni UTI au