SWALI:
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?
Swali No. 513
JIBU
Ni kweli hiyo ni dalili ya tangazo. Kama upo karibu na duka ka dawa fika mwambie akuoatie anti fungi lotion yaani zile dawa za fangasi za kupakaa.
Kama kunatokea uchafu mueleze zipo sawa za kuingiza anaweza kukupatia. Hata hivyo ni vyema zaidi kufika Kituo cha Afya kwa matibabu ya uhakika.
Kuhusu uke kiwa mkavu, Tunu kwanza fangasi. Kisha ukiona na tatizo likiwa endelevu muone daktari huwenda akakuoatia dawa za homoni.
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 25-02-2023-17:44:17 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp