Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nauliza vidonda vya tumbo vinatibika?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 626
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mi naitaji ushauli kuhus dalili za mwanzo kuma ya kuota tezi kweny shing au kwapan hizi tez zipoj zipoje
Pole Kwa majukumu! Samahani Mwanangu ana miezi 8,ila toka juzi hapati haja ndogo,km ilivyo kawaida Jana Hadi Leo kakojoa mara1, Naomba msaada
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Swali lingine mbona mwanamke anaweza kuwa hamefunga bridi na umri mkubwa hata miaka 50 baadaye anabeba mimba hiyo hinakuaje
Ukiwa na mimba miez nane na wiki moja au mbil unaweza kujifungua mtoto akiw na kilo ngapi?
Mapele yamekuw yakinitokea san na kuwashwa cjaelew hii kitu inakuwaje..naomba unipe jibu🙏🙏🙏