Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kama tumbo linaunguruma tu je
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 602
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello,,Mimi nikishiriki tendo la DOA na boyfriend wangu na akanijulisha yakwaba ameshikwa na maumivu na Mimi akuna venye nasikia at a kidogo
Nikiwahi pata infection na nikatibiwa soo kumaanisha aijawagi pona ama nafaa nitumie dawa gani
Nilikuwa nauliza natokwa na uchafu warangi ya njano arafu mzito hili litakuwa nitatizogani
Natokwa na usaha kwenye uume
Na swali juu ya kujuwa mke wng naweza anaweza kujuwa km ameshika mimba baada ya siku ngap baada ya tendo
Dokta mm tumbo langu laniuma mda mwengine nikimaliza kula ama nikimaliza kwenda haja kubwa nkikaa na njaa yani huniuma lote naomba sulution
Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa