Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kama tumbo linaunguruma tu je
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 602
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naulisa ukiwa unakunyua pombe unawesa ambukizwa ukimwi .
Habari naitwa daines nilikuwa natumia uzazi wa mpango nimekitoa mwezi wa 12 mwaka Jana nasiku zangu sizioni Toka mwezi wa kumi mwaka Jana mpaka leo sioni siku zangu Leo nimepima kipimo kinaonesha ninamimba je inawezekana?
Je ukinywa vidonge vya vitamin E unaweza kunenepa
Hi ,mm nko week 40 sai na naskia uchungu upande wa chini wa tumbo kama maumivu ya periods lakini sitoki chochote inawezakuwa ni nini?
Doctor naomba nijue doctor hii ni mala 3 natumia pepu nimekuwa Kama Nina mikosi jee haiwezi pelekea dawa kutofanya kazi na wanasema pepu Ina asilimi 65 ya kuzuia ugonjwa na sio asilimia100 doctor naomba niambie hii iko vp
Mimi nikikojowa mkojo unakuwa njona pia kabla ya kukojowa nkiminya uume kunatoka kama usaha ila fangas kwenye ipo kwenye mbeg