Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili ya mimba ya siku Moja ni ngan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 335
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimeishuku Sana yani nahisi km mimba ju Ni kitu inanigonga gonga na nikienda kuitoa kesho ntachukua mda gani kupona
Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period
habari .mm sasa ninaishi na mke mwenye ukwimwi mwanzo alinificha hakuniambia je sas nilipogundua nilipima sikuwa nao je kuna namn ya kuishi na mtu wa aina hiyo nikawa salama
Je mtu anaweza kutumia dawa akiwa kwenye siku za hedhi?
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina
Swali langu, ipi Sababu ya mwanamke kuchanganywa na siku yake ya period eg, maalum Ni tareh 23 Kila mwezi ,utaona inamshusha 18, Mara 22 kupanda Tena 26 , naomba kujua doctor