Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba tiba ya kutokwa harufu mbaya mdomoni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 141
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar docktor samahani gome la mwembe nasukutulia au nakunywa???
Docta me nina shida nina mimba ya miez miwili natokwa damu matone matone nikaend hsptl nikapigwa ultrasound mimba ipo nikapewa dawa ila sasà damu naona matone yanaongezeka alafu ni mekundu kuna kibonge kidogo kimetok ukeni ndo mimba imetoka au mana vipimo nimefanya jana 2 Hali imebadilik kesho yake
Mm nililamba uchi wa mwanamke na ikanitokea mdomo kuwa Meusi na kupasuka pembeni mwa mdomo
Naam inawezekan Mtu kupungua uzito kwa sababu ya msongo wa mawazoo??
Hai jaman minashida yani nateseka fangas uken vidonda kwenye mashavu afu vinawasha nitumie dawa gan
samahn mim nin ujauzito wa miez 4 nilienda kupm nikakuta na malaria nikapew mseto huy alie nip dawa kanmby nawez kutumia coz nin ujauzito wa miez 4 je ni kweli