Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba tiba ya kutokwa harufu mbaya mdomoni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 141
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kujua nada ya kutoa talaka Kwa mujibu wa dini ya kiislam utaratibu wa mgawanyo wa mahalo ukoje?
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
Ikiwa vipimo vya magonjwa ya zinaa vitafanyika kwa mwanamke hata kabla ya dalili kuonekana nje, majibu huonyesha maambukizi?
Sawa,mbegu zangu hutoka nyepesi sana baada ya tendo zinatoka,je Naweza kuwa na tatizo ? na je unazo dawa za kuboresha ?
Habari,,naomba kukuuliza nimetumia Kinga ya kijit Cha miak mitatu,, Ila nimechelewa kikitowa na mara ya mwisho kuona hedhi ni tarh 4 mwez wa pili na natumikaga mpaka cku kumi na mbili ndo anakat Sasa tok hapo cjapat Tena inawezekan nikapata ujauzito ikiwa bado Nina Kinga ambaayo bado cjaitowa na imeisha muda wake? ahsantee