Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nini husababisha maumivu ya kichwa mara kwa mara
msongo wa mawazo
uti
upungufu wa damu
upungufu wa maji
kutopata muda wa kutosha kulala
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina umri wa miaka 23 ni msichana mm naomb msaada nilisex baada ya kusex nikakaa kama siku mbili nikaingia period xiku 4 nikatoka nikakaa kama xiku 4 nikasex tena je naeza kupata naeweza kupata mimba
Hi,Kwa nini chuchu zangu ziko na uchungu Na zinatoka damu
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin
Kwa mfano huwa naingia tarehe 26 naingia ck tano than Nika sex tarehe 22 kunauwezekano wa kupata mimba
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Je huu ugonjwa hutibiwa kwa mda gani Wa kuvimba mapumbu na maumivu makali