Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nini husababisha maumivu ya kichwa mara kwa mara
msongo wa mawazo
uti
upungufu wa damu
upungufu wa maji
kutopata muda wa kutosha kulala
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Doctor habari Mimi Nina darili zote za mimba lkn Jana nimepima kwenye (upt) ukachora msitari mmoja alaf ni mstari nusu Shida ni nn
Je nini tatizo ikiwa tumbo linakuwa kama limejaa gezi halafu nikiwa nalibinya kwa ndani nakuwa napata maumivu flan chini ya kitovu japo sio makali
Majimaji yanayoambatana na maumivu ya tumbo la chini
Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi
Mi maziwa yamejaa na yanauma. Ila hii dalili naisikiaga nikikaribia period ila pia nimesex juzi sa sielew hapo ni mimba au period
Dalili za kichwa kuuma na kizungu zungu zina ashilia nn