Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nini husababisha maumivu ya kichwa mara kwa mara
msongo wa mawazo
uti
upungufu wa damu
upungufu wa maji
kutopata muda wa kutosha kulala
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Habar mke wangu analala Mika miguu kukosa nguvu shida itakwa nin
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Kwa mfano hukushiriki tendo la ndoa lakini ukaja unaingia manii au izo mbegu za kiume kwa bahati mbay je kuna uwezekano wa kupata mimba?
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Je kuharisha na kupungua uzito mwilini kunauwezekano ni maambukizi ya virusi baada ya Kufanya ngono bila kinga