Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nini husababisha maumivu ya kichwa mara kwa mara
msongo wa mawazo
uti
upungufu wa damu
upungufu wa maji
kutopata muda wa kutosha kulala
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mapele yamekuw yakinitokea san na kuwashwa cjaelew hii kitu inakuwaje..naomba unipe jibu🙏🙏🙏
Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba
Daktar kuna kingine kamaa malengee lengee nmkiinqa leo asubh kwa pemben kwa juu ilaa kimevimbaa Wakt was kukaa kinavutaa na kusimama...
Habar Dr. Mimi ninaujauzto wa wiki16 ndo wa kwanza lkn nahis kichezo tumboni unaweza nijuza hili
Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??
Nlikuw nnaswali vidonda vya tumbo pia vn virusi