Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nini husababisha maumivu ya kichwa mara kwa mara
msongo wa mawazo
uti
upungufu wa damu
upungufu wa maji
kutopata muda wa kutosha kulala
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ivi mafua ya mara Kwa mara, kuhisi uchovu, na kukosa hamu ya kula ni dalili za UKIMWI??
Hello. Habari mm naumwa fungus nikijikuna napata maumivu sana. Na nimechubuka kwenye mashavu ya uke na nimetumia dawa CANI_MAKS lkn naona hainisaidii chochote je nitumie njia gani ya asili au dawa gani nipone?
[2/Sorry doctor nna maswal mengi coz nlijua cku ya kumi ni safe
Na implantation bleeding ni lazima kutokea na inatokea kwa mimba yenye mda gani
Ahsante nimesoma makala Je! Michubuko huonekana kwa macho baada ya kufanya tendo la ndoa?
Habar dr. ivi nitamjuaje mtu mwenye maambukizi
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako