Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 354
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na swali juu ya kujuwa mke wng naweza anaweza kujuwa km ameshika mimba baada ya siku ngap baada ya tendo
Nilipata ajali nanilikuwa nimefungiwa cheni zakushikilia taya sasa zimetolewa lakini changamoto meno maumivu makali sana
Je kutokwa na maji maji ya njano sehm za siri tatzo ni nn
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara
Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz
Habari naomba niulize mtu mweny presha akipewa daw ndo anakunywa miaka yote? Au itakapo kaa sawa anaweza acha dawa nakupunguza chumvi na mafuta