Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 354
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???
Nina mimba sasa imefikisha miez 9 na mtoto anachezea upande mmja tu iyo nini
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Dr tatizo lingine Ni kwamba nabanwa na mkojo kila muda mabayo Ni kawaida kwa mjamzito Ila Kuna wakati nahisi kibofu kinauma kana kwamba mkojo umejaa Sana Ila nikienda kukojoa natoa mkojo kidogo saana na bado kibofu nahisi kimejaa Hilo Ni tatizo gani