Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 354
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na mtu ambae anatumia ARV kumuambukiza ambae Hana uwa aiwezekani
Naumivu ya tumbo kwa meenye mimba ya mwezi mmoja hutokea juu ya kitovu ama chini ya kitovu?
Mimi baada ya kufanya mapenz na mwanamke anayesemekena ana ukimwi baada ya wiki 2 nilienda kupima na sikukutwa na maambukizi ya ukimwi lakini saivi nasikia maumivu ya misuli hasa kwenye goti la kushoto
Hbarai,mimi nina swali naomba msahada nilishea tendo na mtu ambae alikuwa na nia mbaya kumbe ni muathirika na baada ya mwezi tulienda kupima lakini mimi nikakutwa mzima na yeye alikuwa na maambukizi na toka hapo sina hamani je hii imekaaje?
Swali langu ni kula papai change lkn Nika chemshwa lika iva je hakuna mazara. Lapili huwa napata Mau mivu San chin ya kitovu nikiwa nafanya pirik zangu za Kaz
Nina tatizo la infertility sina uwezo wa kutungisha mimba hili tatizo linaweza kutibika?