Pata jibu kamili kuhusu swali lako
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1090
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za saizi nilikuwa naomba kuuliza daktari tezi zangu za shingo zimekua Saiz ya haragwe kwa takribani mwezi lkn hazium shida nini apo
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba
Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia
Je unawezaa kutokaaa maji maji meupee na kiuno kumaa nakuachiaa ni dalili za kujifungu pia ama mtoto anageukaa tu
Mwili unapungua sjiskii ham ya kula pia hii unaweza kuwa dariri ya vvu
Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je