Pata jibu kamili kuhusu swali lako
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1090
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nikawaida mtoto kucheza chini ya kitivu mimba ya miezi mitano?
Hi,Kwa nini chuchu zangu ziko na uchungu Na zinatoka damu
Je maziwa ya mtindi yanafaa kutumiwa na mgonjwa mwenye h.pylori?
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??
Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele Vile vidonda vinatoka kama unakinga mwili wanasema homa inatoka
Habari Za. jioni Pole na majukuku. naomba unisaidie chakula matunda MA vyinywaji nitskavyoweza kuvitumia maana mwili unaisha nguvu
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae