Pata jibu kamili kuhusu swali lako
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1090
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je maziwa ya mtindi yanafaa kutumiwa na mgonjwa mwenye h.pylori?
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Kwa kawaida hku kwetu M beya gunia la debe 10 huuzwa lakimoja, kipindi Cha maandalz ya kilimo mkulima huomba kukopa elfu 50 na kuahd kulpa gunia Moja la debe 10 wakati was mavno he katika uislamu hl ni halali?
Hivi kw mfano tupu mbili zikakutana ya kike na yakiume lkn ile ya kiume ikawa haijazama ndani yaani namaanisha imeekeshwa tu kweny uke bila kuzama ndani ule uume je panauwezekano wa kupata mimba