Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari mi nnatatizo la presha naitaji msaada wako
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 948
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?
Dalili za mimba zinazoonekana ukeni
Nimeingia mp tarehe moja mwezi huu nkamaliza tarehe 2 danger ni tarehe 11 nimekutana na mwanaume tarehe 10 kunauwezekano wa kubeba mimba
Ukiwa na chunusi uso na mwili kuwasha pia sehemu za siri kuwasha after kukuwa na mtu akipimwa HIV after 6 week's hayo majibu inakuwa sawa ukitimia vipimo full medical check up